GOSPEL TEAM YAITWANGA VIBAYA TIMU YA DAR CITY FC BAO 1-0 SIKU YA IJUMAA
Timu
ya Tanzania Gospel iliondoka na ushindi wa bao moja ambalo lilipatika
katika kipindi cha kwanza katika uwanja ya shule ya Kenton Sinza. Dar
City hawakuamini kipigo walichokipokea kutoka kwa watumishi wa Mungu.
Timu ya Tanzania Gospel
Goalkeeper wa Dar City FC haamini kilichopata baada ya mechi kuisha
Kufungwa kunauma..angalia huyu mchezaji wa Dar City FC baada ya kipigo
Goalkeeper wa Tanzania Gospel Team, Silas Mbise (wa pili kulia) akitafakari jinsi ya kuudaka mpira wa kona
Mambo yanasonga uwanjani
Mratibu wa Gospel Tean, Erick Brighton (kulia) hakukosa
No comments:
Post a Comment