TANZANIA GOSPEL TEAM YATOKA UWANJANI VICHWA CHINI BAADA YA KUFUNGWA BAO 4-2 NA TIMU YA KOTA FC
Siku ya Jumamosi 25 Machi 2012 katika viwanja vya shule ya Kenton Sinza Mori, timu Kota FC waliwapiga bao 4-2 timu ya Tanzania Gospel bila ya huruma.
Waliofungua milango ya mabo ni timu ya Kota FC ambayo ilitupia bao la kwanza katika kipindi cha kwanza dakika za mwanzo, na bao la pili lilipatikana katika kipindi hicho hicho. Tanzania Gospel waliamua kushambulia na kujipatia bao la kwanza katika kipindi cha kwanza na baadae kujipatia bao la pili kipindi cha pili.
Mpaka mpira unaisha Kota FC walitoka na ushindi.....
Washindi KOTA FC
Timu ya Tazania Gospel
Timu ya Kota FC iliyovali uzi wa njano
Mmmoja wa waratibu wa timu ya Tanzania Gospel Team kulia, George Mpela akionge na mchezaji wa TBC1 kuhusiana na mpambano wa leo
Refalii akiwa na ma-captain wa timu
Mwimbaji Datsun
Tanzania Gospel Team wakifanya mazoezi kabla ya mechi
Wachezaji na mashabiki wakiwa nje ya uwanja
Goalkeeper wa Tanzania Gospel
Kota FC wakiwamsiliza mwalimu wao aliyevalia nyekundi kipindi cha kwanza
Mchezaji wa Kota FC akisaidiwa baada ya kuumizwa
Blogger Papa Samsasal akiwacheki wachezaji
Kazi inasonga
Mabloga, kuanzia kulia Victor(www.hosannainc.blogspot.com), uncle Jimmy (www.unclejimmytemu.blogspot.com), Samsasali (www.samsasali.blogspot.com)
No comments:
Post a Comment