TANZANIA GOSPEL TEAM

Tanzania Gospel Team ni timu ya mpira wa miguu (football) na mpira wa mikono (netball). Timu hii iko nchini Tanzania mkoa wa Dar es Salaam wilaya ya Kinondoni, Sinza Afrikasana.

Timu imejumuhisha wachezaji kutoka makanisa mbalimbali ya Kikristo na hasa waimbaji, maproduza na watangazji wa radio za kikristo.

Lengo la kuanzisha timu hizi ni kumtangaza Kristo kwa njia ya michezo, kuwaunganisha wapendwa wa Bwana kutoka makanisa mbalimbali, kuweka urafiki na undugu, kuijenga miili ya wachezaji kiafya, kuburudisha, kuonyesha mshikamano na ushirikiano kati yetu, kujuana na kufahamiana.

Tangia timu ianze januari 2012 kumekuwa na maendeleo mazuri na watu wengi wamekuwa wakifika katika viwanja vyetu vya mazoezi vilivyooko Sinza Afrikasana katika shule ya Kentoni.  Mungu ametuwezesha kucheza na timu mbalimbali kama vile Dar City FC, Walabata, Pasi Mia, na zingine nyingi.

Tunaomba sana maombi yako ili tuweze kuwa na mafanikio kwa kucheza na timu kubwa kama Manchester, Arsenal, Liverpool, Yanga, Simba n.k

Tunaamini kwa Mungu kila kitu kinawezekana.  

Monday, May 28, 2012


MUENDELEZO
HARUSI YA MTANGAZAJI WA PRAISE POWER RADIO ERICK BRIGHTON.
EPISODE II
Emmanuel Mabisa kulia akiongea na Happy mwanachuo wa Mzumbe Morogoro


 Fuluuuuu Shangwe


 Mates wakiwa wametokelezea
 Mdogo wake na Erick Brighton


 Blogger Jimmy
 Mwimbaji wa nyimbo za injili Datson
 Baba yake na Erick kulia
 Akina Rose
 Sarah Mvungi wa pili kutoka kulia akiwa na mwanae wa kwanza kulia


 Mama mzazi wa Erick Brighton wa pili kushoto
Mdogo ake na Erick Brighton kulia

PICHA BADO ZINATUPWA. SUBIRIA EPISODE III

Sunday, May 20, 2012


FADHAGET SANITARIUM CLINIC CD KUPATIKA SASA-Dr. Fadhili Emily
Dokta Fadhili amesema sasa unaweza kupata mafundisho kuhusiana na huduma za tiba zinazotolewa na Sanitarium Clinic iliyoko Mbezi Beach Tangi Bovu, Tandika Majaribio-Dar es Salaam Tanzania

Amewaomba watu wote kununua CD hii ili uweze kujifunza ni jinsi gani unaweza ukatibiwa magonjwa sugu kwa njia ya mimea na matunda.

Kama ungependa kujua zaidi jinsi ya kupata hizi CD, tafadhali wasiliana nasi kwa mawasiliano yaliyopo katika CD hapo chini:-




CD case imetengenezwa na Rulea Sanga +255 715 85 15 23 | rumatz2011@yahoo.com | www.rumaafrica.blogspot.com


TANZANIA WORSHIP EXPERINCE WAKIWA WAPO RADIO KUHAMASISHA WATU KUJIANDIKISHA KATIKA SAKATA LA KUWATAFUTA WATU WENYE UWEZO WA KUIMBA NYIMBO ZA KUABUDU
Wakihojiwa na mtangazaji wa Wapo Radio Joyce, wamesema kwa neema ya Mungu wamejipanga vizuri katika kuhakikisha zoezi hili linafanyika kwa haki. Mchungaji Charles Mbogoma amehimiza watu kufika kwa wingi siku ya jumamosi tarehe 26 Mei 2012 katika hoteli ya The Atriums iliyoko Sinza Afrikasana Dar es Salaam.

Naye Blooger Rulea Sanga amesema anahakikisha matukio yote yatakayokuwa yanatokea yatarushwa katika mitandao mbalimbali na katika radios na TV. Amesema kwa sasa unaweza kutembelea katika blogu hizi www.rumaafrica.blogspot.com au www.tanzaniaworshipexperience.blogspot.com

Makalanga alisema unaweza kujaza form ambazo zipo katika ofisi ya Unversal Inc maeneo ya Posta au ingia katika blogu ya www.tanzaniaworshipexperience.blogspot.com

MNAKARIBISHWA WOTE HAKUNA KIINGILIO CHOCHOTE. HATA KAMA HUJUIKUIMBA UNAKARIBISHWA
 Mmoja wa judges, Emmanuel Mabisa
 Logistic na Katibu, Nasobile (kulia), akifuatia Mch. Mbogoma
 Mtangazaji wa Wapo Radio, Joyce
IT na blogger Rulea Sanga wa pili kutoka kushoto 
 Mchungaji Charles Mbogoma
 Mwenyekiti, Mkalanga

 Blogger na IT, Rulea Sanga
JAZA FOMU HII KUJIUNGA

TAFADHALI TUMA BARUA PEPE KWETU YENYE MAJIBU YA MASWALI YALIYOULIZWA HAPO CHINI:

NB: Soma kwa makini na ukishasoma nakili mahali fulani majibu yako na utume kwetu kwa kutumia barua pepe hizi hapa chini: Tafadhali tuma majibu yako kwa barua pepe (email) zote hapo chini. Unaweza kubofya katika email mmojawapo na ukaanza kujaza fomu yako. Angali mfano hapo chini ya maswali.

1. JINA LA KWANZA----------------------
2. JINALA LA UKOO---------------------
3. ANUANI YAKO------------------------
4. NAMBA YA SIMU--------------------
5. UMRI--------------------------------------
6. JINSIA YAKO-------------------------
7. TAREHE YA KUZALIWA: TAREHE-----MWEZI---MWAKA
8. KANISA LAKO-----------------------
9. JINA LA MCHUNGAJI WAKO-----------------------
10. ANUANI ZA MCHUNGAJI WAKO: 
      SIMU-----------BARUA PEPE--------------------
11. UMEOKOKA?: NDIYO:--------HAPANA:----------
12. LINI UMEBATIZWA?: 
      TAREHE-------MWEZI------MWAKA
13. LINI UMEJAZA ROHO MTAKATIFU?:
      TAREHE------------MWEZI----------MWAKA
14. UNAJUA MAANA YA KUABUDU: 
      NDIYO----------------HAPANA----------
15. MKOA UNAOTOKA-------WILAYA-----

Sasa tuma majibu yako kwa tumia barua pepe hizi:
MFANO WA KUJIBU:
Jina la kwanza: Rulea
Jina la ukoo: Sanga
Anwanuani: Box 120 Dar
Namba ya simu: 0715851523
Umri: 12
Jinsia: mwanaume
Tarehe ya kuzaliwa: 30 Juni 1990
Kanisa langu: Mlima wa Moto Mikocheni B
Mchungaji wangu: Dr Getrude Rwakatare
Anwani ya mchungaji wangu: Box 234 Dar, 
          Simu: 0715851523 Barua pepe: info@rwakatare.com
Ndiyo nimeokoka
Tarehe ya kubatizwa: 20 Juni 2011
Ndiyo nimejazwa : Tarehe 30 Septemba 2011
Tarehe ya kupokea: Roho Mtakatifu: Tarehe 30 Septemba 2011
Sijui maana ya Kuabudu lakini naweza kuimba kutokana na kuwa nina sauti nzuri na hisia kali

AHSANTENI

KIINGEREZA
First name...................................Second name................

Address........................cell number..........
Age......................
Sex.....................
Bon again..............yes........no........
Your church................
Your pastors contact................
When were you buptized................
When were you filled with the holly spirit.............
do you know the meaning of worship...............

John 4:24

Sunday, May 13, 2012




BLOGGER WENU, RULEA SANGA NINGEPENDA TUSHIRIKIANE KULA HIKI CHAKULA NILICHOPATA KWA NABII TB JOSHUA NILIPOPATA MUALIKO WA KUMTEMBELEA NIGERIA-LAGOS APRIL 2012

UNAWEZA KUNUNUA HIKI KITABU KINACHOITWA "THE MIRROR PROPHET TB JOSHUA"

Posted by Rulea Sanga +255 715 85 15 23 |  www. rumaafrica.blogspot.com 

GET THIS BOOK-"THE MIRROR PROPHET TB JOSHUA"
Through this book you will learn a lot of things.

As your blogger, Rulea Sanga I'll be giving you some few points of the Word of God from TB Joshua's Book:
Today we shall see DANIEL
Prophet TB Joshua 

DANIEL trial did not make him lose faith in God, rather it made him pray the more.
Daniel 6:1-28

Daniel was a man of prayer, that was why made the decree. Daniel was still praying because he knew His God was the God that saves and rescue.

Before you can show your faith, you must know your God as One that saves and rescues; you must know what you need to be. Before you can have faith in you God, you must first believe in Him alone and then trust in Him alone. You don't need to support God to do His work. Our duty is to have faith in His finished works.

Daniel's experience of hard time was to be in the lion's den.

We should trust in God in every trial. In hour of adversity, we should trust in God. For the reasons that Daniel trusted in God in the hour of adversity.

God became known all over, all the earth trembled before his God was known as God who rescues and delivers.

Today, christians believe in God but not in the times of trial. 

The believe only when everything is going fine, and everyone is speaking well of them. When you are afraid,  your god will be a god of fear. When you are doubt during you crisis, your god will be a god of doubts. However, when you believe in God in your crisis, your God will be the God of rescues.
Rulea  Inside SCOAN Synagogue

What made Daniel Stronger:
1. His status was elevated
2. He began to dine with kings and men of substance: King Darius began to recognize him.
3. His faith became a state one: the whole country said, "the God of Daniel everybody should worship, obey and respect!"
4. His relationship with God shifted to another level.

TALK WHAT YOU BELIEVE
WORDS TO MEDITATE ON DAY AND NIGHT.
MEDITATION BRINGS REVELATION.

Daniel 5:14-15
"A man of faith is led by an indwelling Spirit of grace, which is greater than he would dwell in the world"

Daniel 6:26-27
"Before you can show your faith you must know that God is the God that saves and rescue"
 Rulea Sanga Outside SCOAN Synagogue

We shall continuel next time

Copied by Rulea Sanga from the Book of TB Joshua

Wednesday, May 9, 2012



"GET TOGETHER PARTY" YAFANA NDANI YA THE ATRIUMS HOTEL USIKU WA JANA
Usiku ulikuwa ni usiku wa furaha na kumtukuza Mungu, Erick Brighton ndiye mlengwa mkubwa katika party ya jana ambaye aliwakusanya watu kwaajili ya kuwakutanisha maproducer, waimbaji, watangazaji wa radio na TV, mabloggers na wachekeshaji, na kubwa zaidi ilikuwa ni siku ya kumchangia Erick katika harusi yake itayofanyika karibuni.

Burudani mabalimbali kutoka kwa waimbaji zilitawala zikiambatanishwa na vichekesho kutoka kwa wachekeshaji kama Masanja Mkandamizaji na Nyerere.

Kamati inawashukuru watu wote waliohudhuria mahali pale na Mungu awabariki, na msingi zaidi ni kuwasisitiza kwa wale walioahidi michango yao waiwakilishe kwa wahusika kabla ya jambo lenyewe la harusi
Kike inapukutika
Mtangazaji wa Praise Power Erick Brighton katikati akijiandaa kuwalisha kike wapenzi wake

 Kitu kike
Kamati ya maandalizi
 Rosemary mwenye hand bag akitokelezea
 Haya sasa ------ Mtangazaji wa Channel Ten, Boniface Magupa akiwa na mtarajiwa wake Jessica Honore
 Emmanuel Mabisa akiwa amewekwa kati na kundi la Double E
 Uimbaji ukiendelea
 Mtangaji wa Praise Power George Mpella (kushoto) akiwa na Mkurugezi wa kampuni ya Dolphin, Mr Kwayu
 Mchekeshaji, Msanja Mkandamizaji (kushoto kwa hao waliosimama) akikandamiza na mdau wa blogu hii.
 Fadhili wa Fadhaget Santarium Clinic (kushoto) akiwa katika pozi na Mkandamizaji Masanja
 Mzee wa Blogu, Rulea Sanga (kulia) nikijipendekeza kwa mtalaamu wa magonjwa sugu Fadhili wa Fadhaget Santarium Clinic
 Kamati ikicheki mpunga kama uko sawa baada ya party kuisha
Blogger weeeeeeeeeee..uza sura
 Mwimbaji wa nyimbo za injili na kijana anayesomea mambo ya IT, Anania siku ya party alijikita sana katika kitengo cha mitambo
 Furuuuuuu rahaaaa 
 Mc wa siku hiyo Makondeko akitupia jicho katika kamera
 Silas Mbise akikandamizwa kike na dada Benzon
 Mchungaji akiwa katika vazi la jeshi 
 Utajuaje kama tulipata kike..kula rafiki yangu
Mchekeshaji Masanja Mkandamizaji akikandamizwa makekizzzzzz

PICHA BADO ZINAKUJA, ENDELEA KUITEMBELEA BLOG HII