TANZANIA GOSPEL TEAM

Tanzania Gospel Team ni timu ya mpira wa miguu (football) na mpira wa mikono (netball). Timu hii iko nchini Tanzania mkoa wa Dar es Salaam wilaya ya Kinondoni, Sinza Afrikasana.

Timu imejumuhisha wachezaji kutoka makanisa mbalimbali ya Kikristo na hasa waimbaji, maproduza na watangazji wa radio za kikristo.

Lengo la kuanzisha timu hizi ni kumtangaza Kristo kwa njia ya michezo, kuwaunganisha wapendwa wa Bwana kutoka makanisa mbalimbali, kuweka urafiki na undugu, kuijenga miili ya wachezaji kiafya, kuburudisha, kuonyesha mshikamano na ushirikiano kati yetu, kujuana na kufahamiana.

Tangia timu ianze januari 2012 kumekuwa na maendeleo mazuri na watu wengi wamekuwa wakifika katika viwanja vyetu vya mazoezi vilivyooko Sinza Afrikasana katika shule ya Kentoni.  Mungu ametuwezesha kucheza na timu mbalimbali kama vile Dar City FC, Walabata, Pasi Mia, na zingine nyingi.

Tunaomba sana maombi yako ili tuweze kuwa na mafanikio kwa kucheza na timu kubwa kama Manchester, Arsenal, Liverpool, Yanga, Simba n.k

Tunaamini kwa Mungu kila kitu kinawezekana.  

Wednesday, May 9, 2012



"GET TOGETHER PARTY" YAFANA NDANI YA THE ATRIUMS HOTEL USIKU WA JANA
Usiku ulikuwa ni usiku wa furaha na kumtukuza Mungu, Erick Brighton ndiye mlengwa mkubwa katika party ya jana ambaye aliwakusanya watu kwaajili ya kuwakutanisha maproducer, waimbaji, watangazaji wa radio na TV, mabloggers na wachekeshaji, na kubwa zaidi ilikuwa ni siku ya kumchangia Erick katika harusi yake itayofanyika karibuni.

Burudani mabalimbali kutoka kwa waimbaji zilitawala zikiambatanishwa na vichekesho kutoka kwa wachekeshaji kama Masanja Mkandamizaji na Nyerere.

Kamati inawashukuru watu wote waliohudhuria mahali pale na Mungu awabariki, na msingi zaidi ni kuwasisitiza kwa wale walioahidi michango yao waiwakilishe kwa wahusika kabla ya jambo lenyewe la harusi
Kike inapukutika
Mtangazaji wa Praise Power Erick Brighton katikati akijiandaa kuwalisha kike wapenzi wake

 Kitu kike
Kamati ya maandalizi
 Rosemary mwenye hand bag akitokelezea
 Haya sasa ------ Mtangazaji wa Channel Ten, Boniface Magupa akiwa na mtarajiwa wake Jessica Honore
 Emmanuel Mabisa akiwa amewekwa kati na kundi la Double E
 Uimbaji ukiendelea
 Mtangaji wa Praise Power George Mpella (kushoto) akiwa na Mkurugezi wa kampuni ya Dolphin, Mr Kwayu
 Mchekeshaji, Msanja Mkandamizaji (kushoto kwa hao waliosimama) akikandamiza na mdau wa blogu hii.
 Fadhili wa Fadhaget Santarium Clinic (kushoto) akiwa katika pozi na Mkandamizaji Masanja
 Mzee wa Blogu, Rulea Sanga (kulia) nikijipendekeza kwa mtalaamu wa magonjwa sugu Fadhili wa Fadhaget Santarium Clinic
 Kamati ikicheki mpunga kama uko sawa baada ya party kuisha
Blogger weeeeeeeeeee..uza sura
 Mwimbaji wa nyimbo za injili na kijana anayesomea mambo ya IT, Anania siku ya party alijikita sana katika kitengo cha mitambo
 Furuuuuuu rahaaaa 
 Mc wa siku hiyo Makondeko akitupia jicho katika kamera
 Silas Mbise akikandamizwa kike na dada Benzon
 Mchungaji akiwa katika vazi la jeshi 
 Utajuaje kama tulipata kike..kula rafiki yangu
Mchekeshaji Masanja Mkandamizaji akikandamizwa makekizzzzzz

PICHA BADO ZINAKUJA, ENDELEA KUITEMBELEA BLOG HII

No comments:

Post a Comment