TANZANIA GOSPEL TEAM

Tanzania Gospel Team ni timu ya mpira wa miguu (football) na mpira wa mikono (netball). Timu hii iko nchini Tanzania mkoa wa Dar es Salaam wilaya ya Kinondoni, Sinza Afrikasana.

Timu imejumuhisha wachezaji kutoka makanisa mbalimbali ya Kikristo na hasa waimbaji, maproduza na watangazji wa radio za kikristo.

Lengo la kuanzisha timu hizi ni kumtangaza Kristo kwa njia ya michezo, kuwaunganisha wapendwa wa Bwana kutoka makanisa mbalimbali, kuweka urafiki na undugu, kuijenga miili ya wachezaji kiafya, kuburudisha, kuonyesha mshikamano na ushirikiano kati yetu, kujuana na kufahamiana.

Tangia timu ianze januari 2012 kumekuwa na maendeleo mazuri na watu wengi wamekuwa wakifika katika viwanja vyetu vya mazoezi vilivyooko Sinza Afrikasana katika shule ya Kentoni.  Mungu ametuwezesha kucheza na timu mbalimbali kama vile Dar City FC, Walabata, Pasi Mia, na zingine nyingi.

Tunaomba sana maombi yako ili tuweze kuwa na mafanikio kwa kucheza na timu kubwa kama Manchester, Arsenal, Liverpool, Yanga, Simba n.k

Tunaamini kwa Mungu kila kitu kinawezekana.  

Monday, May 28, 2012


MUENDELEZO
HARUSI YA MTANGAZAJI WA PRAISE POWER RADIO ERICK BRIGHTON.
EPISODE II
Emmanuel Mabisa kulia akiongea na Happy mwanachuo wa Mzumbe Morogoro


 Fuluuuuu Shangwe


 Mates wakiwa wametokelezea
 Mdogo wake na Erick Brighton


 Blogger Jimmy
 Mwimbaji wa nyimbo za injili Datson
 Baba yake na Erick kulia
 Akina Rose
 Sarah Mvungi wa pili kutoka kulia akiwa na mwanae wa kwanza kulia


 Mama mzazi wa Erick Brighton wa pili kushoto
Mdogo ake na Erick Brighton kulia

PICHA BADO ZINATUPWA. SUBIRIA EPISODE III

No comments:

Post a Comment